1. Peleleza ndani yangu, Iwe safi nia
Kwangu kama kwako Mungu, Idhihiri pia
2. Peleleza moyo wangu, Unifunukie,
Yaliyomo ndani yangu nami niyajue.
3. Kwanza washe zako tambi. kumefunga giza;
Nijue ambavyo dhambi Ni la kuchukiza.
4. Peleleza na mawazo, Ni mbegu za mambo,
Asili ya machukizo, Maumbuo-umbo.
5. Zidi kuyapeleleza Katikati yangu,
Hata wishe Nifundisha Udhaifu wangu.
6. Hapo nikikwinamia Mbele zako, Mungu,
Hakika Nitakujua, U Mpenzi wangu.
Comments
Post a Comment