1. Nipe moyo wenye sifa Sio wa utumwa; Damu, ulionyunyizwa Wa kwimba daima.
2. Moyo msikizi, moyo Wa kunyenyekea, Moyo utawaliwao na Mwokozi pia.
3. Wenye kutubu, mnyonge, Sadiki, amini; Kamwe, kamwe, asitengwe akaaye ndani.
4. Mpya, mwema na mawazo, Mwingi wa mapenzi, Na uwe kielelezo Moyo wa Mwokozi.
5. Ni uule moyo wako; Moyo wa huruma, Yesu, natamani kwako Kukujua vyema.
6. Na ya midomo matunda Yako, nipe nami; Amani isiyokoma, Iwe yangu mimi.
7. Nitie yako tabia, Inishukie juu; Jina lako nipe pia Ndilo la pendo tu
8. Ni wa Baha utukufu; Mwana atukuke; Na Roho Mtakatifu: U Utatu pweke
Comments
Post a Comment