1. Wkati wa Krismasi nafika horini,
:/:Alipolala Yesu, maskini mtulivu.:/:
2. Mwokozi wangu mwema alifika kwetu,
:/:Niache dhambi zangu, ili niwe wake.:/:
3. Namhitaji Yesu, Rafiki wa wote,
:/:Sitaki kumwuliza kwa kutenda dhambi. :/:
4. Nitamshukuru Yesu, sasa na milele,
:/:Maana alifika, ili tuokoke.
Comments
Post a Comment