- Ikiwa waniuliza, Msingi wa uzima,
Twahitaji kuongeza kwa kazi ya Yesu?
Kwa furaha nitajibu: “Msingi wangu ni wa
nguvu, Ni damu ya Yesu Kristo,
Inatosha sana.” - . Mwamba wa zamani sana,
Wadumu milele. Na hata siku ya kufa
nautegemea. Nitakapotoka huku,
Nitamsifu Mwana-Kondoo. Damu ya
Mwokozi wangu, Yafungua mbingu.
Comments
Post a Comment