Skip to main content
13 NANI AWEZA KUNIFUNGUA?
- Nani aweza kunifungua? Ni Bwana Yesu,
Bwana Yesu! Kweli ushindi
Nipate wapi? Kwa damu ya Yesu Kristo!
Kuna nguvu ya ajabu kuu, kwa damu ya
Yesu! Kuna nguvu ya ajabu kuu,
Kwa damu yake Yesu!
- Nitawezaje kuvunja tamaa? Kwa damu
Yake Bwana Yesu! Nikaribie kisima
Hicho, Kisima cha damu yake!
- Nitawezaje kuoshwa moyo? Kwa damu
Yake Bwana Yesu! Nitakaswe katika
Kisima, Kisima cha damu ya yake!
- Nitawezaje kutenda mema? Kwa nguvu
Yake Bwana Yesu! Nitawezaje kwenda
Mbinguni? Kwa nguvu ya damu yake!
Comments
Post a Comment