Skip to main content
- Mwokozi wangu ulikwenda mbinguni,
Kuketi pamoja naye Baba. Uta’kusanya
sisi sote huko, Mbinguni kwako
utufikishe! Makao mema watuandalia,
Unatungoja nyumbani kwa Baba,
Makao mema watuandalia,
Unatungoja nyumbani kwa Baba.
- Mwombezi wetu wewe, Yesu Kristo,
Hutuombea kwa Mungu Baba.
Unatuchunga sisi, kundi lako,
Watusa-idia jaribuni. Na siku zote
unatuombea, Watushindia vita kali
huku. Na siku zote unatuombea,
Watushindia vita kali huku.
- Ulipopaa uliwanyoshea, Mikono yako
walio wako. Na hivyo siku utakaporudi,
Ubariki wakuaminio! Ulivyokwenda
ndivyo utarudi; Niombe, nikakeshe kwa
imani! Ulivyokwenda ndivyo utarudi;
Niombe, nikakeshe kwa imani!
Comments
Post a Comment