16 YO YOTE UYAONAYO

  1. Yo yote uyaonayo safarini mwako,
    Yafaa kumwamini Yesu, Atakusaidia


    Kwa kuwa anayemwomba Mungu Baba
    yetu, Aokoka hatiani, Na atamsifu Yesu.



  2. Ukichukiwa na watu, Na ukijaribiwa,
    Mwokozi yu karibu, Na maombi asikia.


  3. Ikiwa umepotea, Uko mbali na Mungu,
    Na amani unakosa, Urudi kwake Yesu.


  4. Ukiwa na makosa, Na roho yako ni ngumu,
    Neema yake yakutosha, utubu dhambi zako.


  5. Ukiwa na udhaifu, Kuomba kwa bidii,
    Uombe kama m-toto, Akusikia kweli.

Comments