Skip to main content
- Kipo kijito cha damu ya Yesu,Mwokozi wetu,
Kioshacho wakosaji, Dhambi na uchafu,
Dhambi na uchafu, Dhambi na uchafu,
Kioshacho wakosaji, Dhambi na uchafu.
- M-salabani mnyang’anyi, Alikiona kisima,
Nami niliye dhaifu, Nitakaswe pia,
Nitakaswe pia, Nitakaswe pia. Hata mini ni
m-nyonge,Nami nitakaswe.
- Ee Mwokozi damu yako, Siku zote ina nguvu,
Kuokoa wenye dhambi, Mataifa yote,
Mataifa yote, Mataifa yote, Kuokoa wenye
dhambi, Mataifa yote.
- Kijito hicho cha ‘jabu, Tumaini langu jema.
Upendo wako nasifu, Nausifu sana,
Nausifu sana, Nausifu sana,
Upendo wako nasifu, Nausifu sana.
- Nimekuamini Bwana, Kwani ulinifilia.
Maisha uliyatoa, Kwa ajili yangu,
Kwa ajili yangu, Kwa ajili yangu.
Maisha uliyatoa, Kwa ajili yangu.
Comments
Post a Comment