- Nikimwona kwa imani Yesu Mkombozi,
Ninawaka kwa upendo, Ninavutwa kwake.
Ninaona majeraha, Ya mikono na ubavu,
Na humo ninajificha, Naishi salama. - Imanueli m-pendwa ’nilinde daima,
Mpaka nifike kwako, Mbinguni huko juu.
Milele hata milele, Hakuna la kunipinga,
Kumsifu Yesu Mwokozi, Kwa kunifilia.
Comments
Post a Comment