248 SHIKA MIKONO YANGU

1. Shika mikono yangu, Mungu wangu.
Uniongoze hadi nifike juu. Ukiniacha
Bwana, Napotea, Nataka kufuata - uendako.


2. Unitulize nikiwa na hofu, Nisisahau
Kamwe neema yako. Katika mkono wako
Napumzika. Ukiwa nami Yesu - nina raha.


3. Nikiingia katika huzuni Na giza njiani,
Usiniache! Shika mkono wangu, Mungu
Wangu! Hata nikifa Leo, niende juu.

Comments