272 NI SIKU TUKUFU

1. Ni siku tukufu, haleluya, amina,
Ya kupum-zika, haleluya, amina.
Tuache shughuli tumwabudu Mungu,
Bwana wa mbinguni, haleluya amina.


2. Ni siku tukufu, haleluya, amina,
Tukufu kabisa, haleluya, amina.
Njoni ndugu zangu, tumwabudu Mungu,
Kwa roho na kweli, haleluya, amina.


3. Ni siku tukufu, haleluya, amina.
Ya furaha mno, haleluya, amina.
Yesu ‘kafufuka, na sasa yu hai,
Anatuombea, haleluya, amina.


4. Ni siku tukufu, haleluya, amina.
Ya furaha mno, haleluya, amina.
Yesu ‘kafufuka, na sasa yu hai,
Anatuombea, haleluya, amina.


5. Ni siku tukufu, haleluya, amina,
Siku ya neema, haleluya, amina.
Tangazeni Neno la Bwana Mwokozi,
Msifuni daima, haleluya, amina.

Comments