274 NAFURAHIA KISIMA DAIMA



  1. Chemchemi hiyo inabubujika, Yaniletea uzima.
    Kando ya maji ninaburudika, Nashangilia
    daima.



  2. Nakaa karibu na kisima hiki,
    Naishi kwa maji yake. Yaniletea kupita kipimo,
    Uzima na shangwe kweli.


  3. Nakaa karibu na kisima hiki, Naishi salama
    sana. Fika upesi uliye na kiu, Kisima
    chabubujika!


  4. Nakaa karibu na kisima hiki.
    Ni furaha na uheri. Na kando ya maji nafasi ipo,
    Waweza kupona kweli.

Comments