298 NINAO WIMBO

1. Ninao wimbo wa kunifurahisha
Wa Mwokozi, Wa Mwokozi. Namshukuru
Kwa moyo na kwa roho Mwokozi mzuri mno.


Mwokozi-wimbo wangu, Ni Yesu,
Ni Yesu! mahali pote na siku zote
nitamsifu Yesu kwa yote. Mwokozi-wimbo
wangu huku na mbinguni.


2. Jina lake lafanana na marhamu, Jina lake
Ndilo Yesu. Kutoka kwake Napata vita
Vyema, Mwokozi mpendwa wangu.

Comments