- Katika safari yetu kwenda mbinguni,
Tusilale usingizi, Tuwe na bidii.
Kaza mwendo, tusifungwe Twende mbio tu!
Yesu Kristo ni Mwokozi, na Mfalme Mkuu. - Yesu atupatia maji ya uzima,
Maji hai ya milele yaburudisha. - Njia ya miiba mingi inaumiza,
Hofu na hatari nyingi zafadhaisha. - Mungu wetu atungoja Huko kwake juu,
Yesu ni Mwokozi wetu, Tumfuate tu!
Comments
Post a Comment