40 JUA LA MOYO WA KILA MKRISTO


1. Jua la moyo wa kila Mkristo Ni Yesu
Mwangaza wa ulimwengu. Anapoangaza
moyo wangu, Ninaona raha kuu.


Ni kweli ninaona shwari, shwari kuu,
Yesu anapoangaza moyoni. Anapoangaza
moyo wangu, Ninaona raha kuu, Ni kweli
ninaona shwari, shwari kuu,Yesu
anapoangaza moyoni. Siri zo zote
zaonekana, Kwa mwangaza wa Yesu.


2. Tumepata wokovu wa kweli, Nao ni
mwangaza wa ulimwengu, Alisema
wokovu wa kweli, Ni mwangaza moyoni.


3. Yesu aishiye ndani yangu, Huangaza
moyo kwa pendo lake, Hakika hii ni
furaha kweli, Isiyo na kikomo.


4. Utupe hili pendo tudumu, Maisha
yetu mikononi mwako. Tupate uzima
wa milele, Kwa mwangaza wa Yesu.


Comments