- Mwokozi ametimiza wokovu,
Kwa neema kubwa, Na juu ya mwamba wa
Neno lake, Najenga imani.
Aliniokoa kabisa! Kwa damu ya aliniosha.
Ninam-shukuru Mwokozi m-pendwa,
Kweli alinikomboa. - Mzigo wa dhambi aliondoa,
Kwa neema kubwa, Naona furaha,
Rohoni mwangu, Amani ya Mungu. - Naweza kukaa safi rohoni,
Kwa neema kubwa, Na Roho
wa Mungu aniongoza, Njiani daima. - Karibu na Yesu niko salama,
Kwa neema kubwa, Ahadi
za Mungu zanipa raha, Iliyo kamili.
Comments
Post a Comment