- Ee Rafiki, shaka zako Zipeleke kwa Yesu!
Anayemwamini Yeye, Hata tahayarika.
Namwamini, namwamini, Namwamini Mwokozi.
Naamini, naamini Neno lake la kweli. - Ziungame dhambi zako Utakaswe kwa
damu! Akuvike haki yake, Akufikishe kwake. - Masumbuko yako yote Uyaweke kwa
Yesu! Akuvike haki yake, Akufikishe kwake. - Na furaha yako pia Ijulikane kwake.
Ndiye Bwana juu ya yote, Anayekubariki - Tena mpe Bwana Yesu Roho, nafsi na mwili!
Vyote vya maisha yako Yeye avitakase.
Comments
Post a Comment